Burundi wadharau mazungumzo ya Mkapa, wasema hawashiriki tena mazungumzo na wapinzani

pantheraleo

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
691
878
Habari wakuu,

Serikali ya Burundi imesema haishiriki tena Mazumgumzo na upinzani ya kuleta amani Burundi yanayosimamiwa na rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa.

Burundi imesama haitatuma Wawakilishi wake kwenye mazungumzo hayo yanayofanyika Arusha kwa kile kilichodaiwa kuwa, Wananchi wametoa jibu kwenye katiba mpya.

Wamesema hawana cha kuzungumza sababu wananchi washazungumza kwenye katiba mpya.

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza hivi kribuni alitia sahihi kwenye Katiba mpya tata. Sherehe ya utiaji sahihi zklifanyika katika ikulu ya rais mjini Gitega, katikati mwa Burundi. Katiba hii mpya iliyopitishwa Mei 17 katika kura ya maoni, inampa fursa ya Pierre Nkurunziza kusalia madarakani hadi mwaka wa 2034.
 
Nkurunziza anajua machafuko yakitokea wakimbizi wanakuja huku kukata miti yetu na kuchoma mkaa mapori yetu,sasa ni lazima aambiwe ukweli.
 
Huyu mzee wa vigodoro anakwenda kupatanisha Burundi wakati Arusha juzi kulikuwa kama Somali.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Habari wakuu,

Serikali ya Burundi imesema haishiriki tena Mazumgumzo na upinzani ya kuleta amani Burundi yanayosimamiwa na rais Mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa.

Burundi imesama haitatuma Wawakilishi wake kwenye mazungumzo hayo yanayofanyika Arusha kwa kile kilichodaiwa kuwa, Wananchi wametoa jibu kwenye katiba mpya.

Wamesema hawana cha kuzungumza sababu wananchi washazungumza kwenye katiba mpya.

Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza hivi kribuni alitia sahihi kwenye Katiba mpya tata. Sherehe ya utiaji sahihi zklifanyika katika ikulu ya rais mjini Gitega, katikati mwa Burundi. Katiba hii mpya iliyopitishwa Mei 17 katika kura ya maoni, inampa fursa ya Pierre Nkurunziza kusalia madarakani hadi mwaka wa 2034.
KULE zanzibar wameivunya serekali ya kitaifa ilopewa baraka na wananchi halafu wanajitia kusuluhisha majirani.
 
Nkurunziza anajua machafuko yakitokea wakimbizi wanakuja huku kukata miti yetu na kuchoma mkaa mapori yetu,sasa ni lazima aambiwe ukweli.
Si anajua hifadhi ni hapa kwetu kama mwaka jana alivyofichwa pale serena
 
Yeye aliondoka kaacha wakimbizi wake Mombasa, leo anaenda kusuluhisha Burundi? Na mimi nilishangaa sana!
 
Back
Top Bottom