Burkina Faso: Rais wa zamani, Blaise Compaore afungwa maisha kwa mauaji ya Mtangulizi wake, Thomas Sankara

beth

JF-Expert Member
Aug 19, 2012
3,877
6,326
Mahakama ya Kijeshi imemhukumu Blaise Compaore aliyeongoza Nchi hiyo kuanzia Oktoba 1987 – Oktoba 2014 kifungo cha maisha kwa kuhusika katika mauaji ya 1987 ya Mtangulizi wake, Thomas Sankara

Sankara aliuawa kwa kushambuliwa na risasi katika Mji Mkuu wa Taifa hilo, Ouagadougou miaka minne baada ya kuchukua Madaraka. Compaore pamoja na Mkuu wake wa Usalama, Hyacinthe Kafando walishtakiwa bila kuwepo Mahakamani (Absentia)

=======

Burkina Faso's former president Blaise Compaore was sentenced to life imprisonment for complicity in the 1987 murder of his predecessor Thomas Sankara in a coup, a military tribunal ruled on Wednesday.

The charismatic Marxist revolutionary Sankara was gunned down in the West African nation's capital Ouagadougou at the age of 37, four years after he took power in a previous putsch.

Compaore was charged in absentia along with his former head of security Hyacinthe Kafando, who was also sentenced to life imprisonment.

Both have previously denied any involvement in Sankara's death along with 12 other defendants accused of involvement in the plot, three of whom were declared innocent on Wednesday.

"The court finds Blaise Compaoré and Hyacinthe Kafando guilty of attack on state security, complicity in murder and concealment of a corpse,"the tribunal said in its ruling.

Compaore went on to rule for 27 years before being ousted in another coup in 2014 and fleeing to Ivory Coast, where he is still believed to live.

Fondly known as Africa's "Che Guevara", Sankara took power on a promise to thwart corruption and post-colonial influences, denouncing foreign aid as a control mechanism.

He rolled out mass vaccination against polio, banned female circumcision and polygamy, and was one of the first African leaders to publicly recognise the growing AIDS epidemic as a threat for the continent.

A former fighter pilot, Sankara won public support in the impoverished nation by selling a government fleet of Mercedes, lowering the pay of well-off public servants and forbidding first class state travel.

He cut his own salary, refused to work with air conditioning and jogged through Ouagadougou unaccompanied.

Critics say his reforms curtailed freedoms and did little to enrich ordinary people. But admiration remains.

Over the weekend, students gathered around white flowers marking the spot where Sankara was shot.

Source: Reuters
 
Mahakama ya kijeshi nchini Burkina Faso imemhukumu rais wa zamani Blaise Compaoré kifungo cha maisha jela kwa mauaji ya mtangulizi wake Thomas Sankara .
Source :Aljazeera
Screenshot_20220406-172404.jpg
 
Mahakama ya kijeshi nchini Burkina Faso imemhukumu rais wa zamani Blaise Compaoré kifungo cha maisha jela kwa mauaji ya mtangulizi wake Thomas Sankara .
Source :AljazeeraView attachment 2178016

Muhimu kuondoa kinga kwa viongozi wote na kuwahukumu viongozi kwa vitendo vyao vinavyovunja na kukiuka sheria wakiwa madarakani iwe mfano kwa wengine.

Tuondoe kinga kwenye katiba mpya.

Bravo Burkina Faso.
 
Back
Top Bottom