shetani mweusi
Senior Member
- Jun 30, 2014
- 132
- 116
We are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato