Burigi Chato kumenoga jionee

shetani mweusi

Senior Member
Jun 30, 2014
132
116
We are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato


IMG-20191128-WA0168.jpeg
IMG-20191128-WA0171.jpeg
IMG-20191128-WA0169.jpeg
IMG-20191128-WA0170.jpeg
 
We are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato


View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
Ukipiga totoz hapo mbugani safi sana
 
We are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato


View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
Leo ndio nimekufahamu
 
We are camping here from today. Hii ni kuwajuza umma kuwa Hifadhi ya Taifa ya #BurigiChato pako tayari kwa utalii - kwa hiyo watanzania wote, wageni kutoka nchi mbalimbali, wahaya wote, waganda Kyaka, wasubi, washubi, wahangaza, wanyambo, wazinza, waganda, wasukuma, wanyarwanda na warundi wanaweza kuja hapa Xmas na Mwaka mpya na kuendelea! #TanzaniaUnforgettable #HK #TwenzetuBurigiChato


View attachment 1274921View attachment 1274922View attachment 1274923View attachment 1274924
kweli kumenoga
 
Umeweka picha ambacho ni kitu kizuri lakini tunaomba utufafanulie hapo ni wapi, ni Chato au Burigi!?
Nauliza hivi maana kwa uelewa wangu Burigi na Chato ni maeneo mawili tofauti na kuna umbali wa karibia Kilometa 300!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom