SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,027
- 5,342
Hii midahalo sijui ilipotelea wapi. Sijui sasa hivi ingekuwajeKama kuna Raisi bora kuwahi kutokea Afrika, Ben ni kinara!
Alikuwa na madini ya maana kichwani, kiongozi wa kipekee sana!
Bado naukumbuka mdahalo wa wagombea uraisi mwaka 1995, mdahalo ule ulitufanya tumjue Mkapa, aliwa outshine wagombea wenzake hadi ambao ni Maprofesa