Buriani rafiki yangu Wendo Mwapachu

Lengo la nyerere ilikuwa ni kuleta sura ya kitaifa kwenye mambo mengi ndio maana hata shule za kanisa alizitaifisha japo ye mkatoliki, machifu akawafuta japo ye mtoto wa chifu,kumuelewa nyerere haijawahi kuwa rahisi
Mdukuzi,
Sijipigii zumari langu mwenyewe.

Mimi katika kitabu cha Abdul Sykes nimemtafiti Nyerere na kumsoma ndani ya Nyaraka za Sykes na kusoma kila kitabu na kila makala yaliyoandikwa kuhusu yeye na nimesoma vitabu vyake vyote alivyoandika.

Ukiacha haya nimezungumza na watu wengi waliomjua Nyerere.

Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utaanza Dar es Salaam kama ilivyokuwa 1900 ukifika 1952 ndipo utamkuta Nyerere.

Kuanzia hapo utamsoma Nyerere na wale aliokuwanao katika TANU hadi uhuru unapatikana 1961.

Kumuelewa Nyerere kunaweza kuwa shida kwa wengine lakini si kwangu.

Namfahamu vizuri kabisa hadi aina ya sigara aliyokuwa akivuta.

Nilihojiwa na Prof. Issa Shivji wakati wanaandika kitabu cha maisha ya Nyerere na waliniambia kuwa katika watu wanaoijua vyema historia ya Nyerere mimi naongoza.

Kitabu kilipochapwa nikakuta wameisifia Maktaba yangu kuwa ni kati ya tatu zilizo bora walizoziona katika utafiti wao.

Doa kubwa katika historia ya Nyerere ni kukosekana ukweli wa historia yake kama ilivyoandikwa wakati wa uhai wake na yeye kuridhia hadi pale nilipoandika historia ya Abdul Sykes.

Shule za Wakatoliki zilitaifishwa lakini Waislam waliendelea kubanwa katika elimu.

Bahati mbaya sana kuwa wewe unauleta mjadala huu leo.

Huu mjadala umezungumzwa miaka mingi nyuma.

Ni tatizo linalofahamika vyema.
 
Mdukuzi,
Sijipigii zumari langu mwenyewe.

Mimi katika kitabu cha Abdul Sykes nimemtafiti Nyerere na kumsoma ndani ya Nyaraka za Sykes na kusoma kila kitabu na kila makala yaliyoandikwa kuhusu yeye na nimesoma vitabu vyake vyote alivyoandika.

Ukiacha haya nimezungumza na watu wengi waliomjua Nyerere.

Ukisoma kitabu cha Abdul Sykes utaanza Dar es Salaam kama ilivyokuwa 1900 ukifika 1952 ndipo utamkuta Nyerere.

Kuanzia hapo utamsoma Nyerere na wale aliokuwanao katika TANU hadi uhuru unapatikana 1961.

Kumuelewa Nyerere kunaweza kuwa shida kwa wengine lakini si kwangu.

Namfahamu vizuri kabisa hadi aina ya sigara aliyokuwa akivuta.

Nilihojiwa na Prof. Issa Shivji wakati wanaandika kitabu cha maisha ya Nyerere na waliniambia kuwa katika watu wanaoijua vyema historia ya Nyerere mimi naongoza.

Kitabu kilipochapwa nikakuta wameisifia Maktaba yangu kuwa ni kati ya tatu zilizo bora walizoziona katika utafiti wao.
Salute
 
Kibu...
Baba yako alisoma mwaka gani na jina lake nani?
Mzee Mohamed, bahati mbaya jina nalotumia humu sio langu. Jina halisi siwezi kuliweka kwa sababu ya kazi. Nilipo na kazi yangu itakua vigumu kujitokeza. Nikianza kutaja jina la mzazi nitakua nishajibu nusu swali kwa watu wengine. Tuachie hapa. Iko siku inshalah tutajulishana
 
Tuliobaki tujitahidi tuache historia nzuri tukimaliza safari zetu hapa duniani.

May All Beings Attain Enlightenment.

The world is poorer today.

One for Wendo.

RIP.
 
Kel...
Kuna course nilisoma zamani sana inaitwa, "How to read difficult passages."

Moja ya kutafuta kuelewa unachosoma ni kwanza kujitathmini wewe mwenyewe baada ya kushindwa ili kujijua na kuujua uwezo wako.
😂 😂 😂 Mzee wangu Mo umenivunja mbavu
 
Dah...Sisi wote wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea ....
Mzee Mohamed Said ....mada zako zinanifunza mengi juu ya maisha ya zamani... Japo nyingine zina ubaguzi kidogo.... Asante Sana... Mungu akupe uhai mrefu uendelee kumwaga madini hapa jamvini...🙏
Btw kumbe enzi zako nawe ulikuwa "tozi" 🤣🤣🤣🤭
 
Tulikwenda picnic Kigamboni kwenye nyumba ambayo wakati wa ukoloni magavana ndipo walipokuwa wakienda kupumzika.

Baada ya uhuru nyumba hii ikawa mahali alipotakiwa apumzike rais wa Tanganyika Julius Nyerere na familia yake.

Taarifa ni kuwa Mwalimu hakuwa mtu wa kupenda kupumzika pwani mchangani hivyo nyumba hiyo sisi tukawa na fursa ya kuitumia kila tulipotaka kwani baadhi ya watoto waliokuwa wanaishi State House walikuwa vijana wenzetu.

Picnic hii ilikuwa mwaka wa 1968.
aisee kumbe bata zilikuwepo toka miaka ya 60 eee!! Sijajua wakati huo walivukaje kwenda Kigamboni - itakuwa kwa ngalawa za wavuvi !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom