FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,044
- 40,703
Nani alimroga? Na umejuaje?Karogwa
Nani alimroga? Na umejuaje?Karogwa
Waswahili tunarogana sanaNani alimroga? Na umejuaje?
namimi nilitaka kuuliza hiloHaya mabasi ya Mwendamseke ni yakwake?
Aliumwa au ajali?
Peter Richard Mwendamseke alikuwa kijana mjasiriamali, akijikita zaidi kwenye mifumo wa mawasiliano.
Pia Peter Richard Mwendamseke alikuwa ni mdau mkubwa wa burudani na michezo.
Hakika wana Mbeya wamempoteza kijana wao mahiri.
Mungu ailaze Roho ya marehemu mahala pema. Amina