Labda huyu wa pili,,Inaweza ikawa ni moja kati ya hizi id mbili
bigimoney [ Last seen Nov 11, 2017 ] Matatizo yanayoikuta computer, pamoja na suluhisho lake.
mijikamimi [ Last seen Jun 23, 2021 ] Cataux computers
Mwamba ametutoka bwana...Huyu jamaa kitambo aliwahi niuzia RAM.
2GB. Mwaka 2012..
ItaakuwaInaweza ikawa ni moja kati ya hizi id mbili
bigimoney [ Last seen Nov 11, 2017 ] Matatizo yanayoikuta computer, pamoja na suluhisho lake.
mijikamimi [ Last seen Jun 23, 2021 ] Cataux computers
Huwa wanasema ardhi imebeba vitu vingi vya thamani...Mkaka mzuriii ndo ameenda kweli. Pumzika handsome.
Kweli jamaa alikuwa ajivungi wala kuvimbaR. I. P Paul.
Jamaa alikuwa mtu poa sana sana.
Kweli ilipaswa walau azeeke zeeke ashuhudie wajukuuGone too soon
asante....ila tupendaneni jamani maisha mafupi enhApumzike kwa amani....pole sana kwa msiba
Tukiwa hai mnatunyima mbususu ila vifo vikitokea mnaanza nyenyenyeeeMkaka mzuriii ndo ameenda kweli. Pumzika handsome.
Nakadori hana matatizo ndo maana hata binamu yake amemchunukuTukiwa hai mnatunyima mbususu ila vifo vikitokea mnaanza nyenyenyeee
Ana undugu na paul pogbaukisearch humu ilo neno Cataux utaona kuwa kuna account nyingi zilikuwa zinaizungumzia pia sasa ni vigumu sana kujua kuwa nani ni paul na nani sie....kiukweli sijui account aliyokuwa anaitumia....ila natamani kuijua pia kwani mara nyingi akupenda sana kuiweka wazi kwangu