Utii wa sheriaMbona zipo ila ni chache sana mm nilikua naenda kuchenji pale keys hotel pale ipo.sema zimebaki zile ambazo zilitimiza vigezo na masharti ya bank kuu.
Keys hotel iko wapi?Mbona zipo ila ni chache sana mm nilikua naenda kuchenji pale keys hotel pale ipo.sema zimebaki zile ambazo zilitimiza vigezo na masharti ya bank kuu.
KariakooKeys hotel iko wapi?
Yeah mitaa gani vile...yaan nishawahi iona ila nimesahau ni mtaa gani kkooKariakoo
Kkoo pale karibu na mnazi mmojaKeys hotel iko wapi?
Aaah ok thank u nimepakumbukaKkoo pale karibu na mnazi mmoja
Mtaa wa uhuru karribu na mnazi m1 bibieKeys hotel iko wapi?
Aliyezikataa hayupo ni kigezo kimojawapo
Mkuu - Bureau de change ziko wazi siku nyingi tu. Ni zile zinazofuata masharti ya BOT. Ziko hapo Mlimani City, Sinza karibu na Vunja Bei, Hata Posta - Samora Avenue pale NHC House. Zilizofungwa ni zile zilizoshindwa kufuata taratibu za BOT. Hizo ziko siku nyingi tu, wala hazijaanza leo. Siku nyingine uwe unatuuliza sisi tunaozitumia hizo USD na Sterling Pounds pamoja na Euro.Nimeona bureau de change moja inaitwa Kadco. Je hawa wameufata vigezo gani hadi kuruhusiwa?
Thank u so much dearMtaa wa uhuru karribu na mnazi m1 bibie
Posta pale samora mbona hamna kitu pale, niliingia mpaka mle ndani nyuma ya S.H .Amon holaa, ikabidi niende bank ya posta opposite na benjamin towerMkuu - Bureau de change ziko wazi siku nyingi tu. Ni zile zinazofuata masharti ya BOT. Ziko hapo Mlimani City, Sinza karibu na Vunja Bei, Hata Posta - Samora Avenue pale NHC House. Zilizofungwa ni zile zilizoshindwa kufuata taratibu za BOT. Hizo ziko siku nyingi tu, wala hazijaanza leo. Siku nyingine uwe unatuuliza sisi tunaozitumia hizo USD na Sterling Pounds pamoja na Euro.
Vunjabei pale sinza madukani?Bureau de change zipo hii sio habari mpya baada ya kufungwa na kutakiwa kuwa na vibali na kufuata masharti ya BOT , zilifunguliwa ila sio utitiri kama zamani Mlimani City zipo mbili kule ndani na ziko active muda wote, pale namanga ukiwa unatokea Oysterbay polisi kama unakaribia mataa ukiwa unaenda mjini kushoto pale ipo, posta jengo la vioo ukitokea extelecom zipo za kumwaga , hata sinza pale kigorofa cha vunja bei ipo kwahiyo sio ishu suala lilikua utaratibu tu, hapa ukitaka kuanzisha uzi kana kwamba zimeanza baada ya mtakatifu yohani wa chattle kufwa unakua hujatenda haki .
Kwa urahisi wa kupata jibu la swali hilo, aidha ngoja wana zengwe wa JF waje au kwa urahisi pita pita BOT wakupe jibu au majibu YA UHAKIKA juu ya issue hii. Hata hivyo, nijuavyo mimi ni kuwa Bureau de change hazikuondolewa bali yaliwekwa masharti mapya ya kufanya biashara hiyo. Check na BOT on this.Nimeona bureau de change moja inaitwa Kadco. Je hawa wameufata vigezo gani hadi kuruhusiwa?
Sio Kweli, Nenda NHC House ziko mbili. Acha kudanganya watu. Mimi nafanya transaction hapo kila siku.Posta pale samora zimefungwa zote
Ndio - Pembeni ya Vunja Bei - JKuna jengo lina Bureaue De Change. Ni Branch ya ile iko Mlimani City na Samora Avenue.Vunjabei pale sinza madukani?