Bupe Mwakang'ata: Ni lini Serikali itaanza ujenzi wa barabara ya kutoka Mloo - Kilimatundu - Ilemba - Mtowisa - Majimoto?

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
May 16, 2020
1,890
939

BUPE MWAKANG'ATA - MASWALI NA MAJIBU BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa na Mwanzilishi wa Bupe Foundation, Mhe. Bupe Mwakang'ata ameuliza swali Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ambalo kwa niaba ya Waziri lilijibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya

"Ni lini Serikali itaanza ujenzi wa barabara ya kutoka Mloo - Kilimatundu - Ilemba - Mtowisa - Majimoto, ni lini itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?" - Mhe. Bupe Mwakang'ata

"Barabara ya kipande cha Mloo hadi Kamsamba imewekwa kwenye mapendekezo ya bajeti, ilikuwa ni ahadi, Mheshimiwa Waziri Mkuu aliagiza lakini upande wa Kilimatundu hadi Muze tumeshaanza ujenzi kutoka Ntendo hadi Muze kwenda Kilimatundu, ni barabara ndefu yenye urefu usiopungua Kilomita 300" - Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya
WhatsApp Image 2023-04-16 at 04.48.49.jpeg
WhatsApp Image 2023-04-16 at 04.31.33.jpeg
 

MHE. BUPE MWAKANG'ATA - MASWALI NA MAJIBU BUNGENI

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa na Mwanzilishi wa Bupe Foundation, Mhe. Bupe Mwakang'ata ameuliza swali Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi ambalo kwa niaba ya Waziri lilijibiwa na Naibu Waziri wa Ujenzi Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya

"Ni lini Serikali itaanza ujenzi wa barabara ya kutoka Mloo - Kilimatundu - Ilemba - Mtowisa - Majimoto, ni lini itaanza kujengwa kwa kiwango cha lami?" - Mhe. Bupe Mwakang'ata

"Barabara ya kipande cha Mloo hadi Kamsamba imewekwa kwenye mapendekezo ya bajeti, ilikuwa ni ahadi, Mheshimiwa Waziri Mkuu aliagiza lakini upande wa Kilimatundu hadi Muze tumeshaanza ujenzi kutoka Ntendo hadi Muze kwenda Kilimatundu, ni barabara ndefu yenye urefu usiopungua Kilomita 300" - Mhe. Mhandisi Godfrey Kasekenya

Classmate wangu Mpanda Primary School na baadae Itope Secondary school zote zipo Kyela.

Sijajua hadi leo mnyakyusa huyu kwa baba na mama alipenyaje huko Rukwa

Ni mdada mwenye maadili sana,ukim beep lzm arudishe simu

Kaka yake Andambike tumemzika mwaka jana mwishoni

Atashinda Jimbo la Kyela 2030.
 
Maswali ya namna hii yanapotolewa na kujibiwa Bungeni, huwa naona yanashusha tu hadhi ya Bunge!!
 
Classmate wangu Mpanda Primary School na baadae Itope Secondary school zote zipo Kyela.

Sijajua hadi leo mnyakyusa huyu kwa baba na mama alipenyaje huko Rukwa

Ni mdada mwenye maadili sana,ukim beep lzm arudishe simu

Kaka yake Andambike tumemzika mwaka jana mwishoni

Atashinda Jimbo la Kyela 2030.
Anakusalimia Sana, Ameuliza unaitwa nani ili akutafute
 
Back
Top Bottom