dibwe
Senior Member
- Aug 20, 2015
- 108
- 81
Habarini wana JF.
Maeneo ya Bunju A kumekuwa na shida ya maji ya DAWASCO wiki ya 3 sasa. Tunalazimika kununua maji kutoka maeneo ya mbali na kwa gharama kubwa.
Mwenye kujua pengine kuna matatizo gani kwenye ugawaji wa maji eneo hilo naomba anijuze jamani.
Nimepost humu nikijua kuna wafanya kazi wa Dawasco wanao weza kuwa na ufahamu juu ya chanzo cha tatizo, ama member ambaye anajua kuhusu hilo tatizo la maji kwa eneo kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Maeneo ya Bunju A kumekuwa na shida ya maji ya DAWASCO wiki ya 3 sasa. Tunalazimika kununua maji kutoka maeneo ya mbali na kwa gharama kubwa.
Mwenye kujua pengine kuna matatizo gani kwenye ugawaji wa maji eneo hilo naomba anijuze jamani.
Nimepost humu nikijua kuna wafanya kazi wa Dawasco wanao weza kuwa na ufahamu juu ya chanzo cha tatizo, ama member ambaye anajua kuhusu hilo tatizo la maji kwa eneo kubwa.
Sent using Jamii Forums mobile app