Kwanza kuanzia sasa nataka kutumia jina kamili na full address ili wakashtaki vizuri. Jamani naomba msaada wa jinsi ya ku edit profle yangu. Na picha naweka
Haya tuichangie sassa JF iendeleee ila naskia kiongozi mmoja wa serikali ni memba mzuri sana hapa jamvini ila nae bado hajalipa japo kamchango kadogo kama kangu
Membe jana alipokuwa anajibu hoja ya msemaji wa Upinzani ( H. Wenje) kuhusu Rais kuitwa omba omba kwenye mkutano wa Davos na wazungu alisema; Nimefuatilia hoja yako kupitia mtandao wa waandaaji wa mkutano wa DAVOSlakini sikupata --- kumbukumbu za mkutano wa DAVOS hazipatikani kwenye mitandao yao ila zinapatikana ktk JF.
Mwakyembe akijibu swali la H. Wenje kuhusu bandari ya Mtwara ( Sikumbuki swali la Wenje na siku ) alisema hiyo habari umeichukua JF ( kama vile na yeye ameona JF)
My take;
Je, hii ni kusema kwamba sasa JF Inasomwa sana na viongozi wakubwa wa serikali, na ndio maana taarifa nyeti za serikali zinawekwa humu JF? Je, JF itakuwa na mchango mkubwa sana ktk kubadilisha siasa za nchi yetu kadri internet inavyoingia mpaka kwenye simu za mkononi nk?.
Ninawaza tu.
Leticia Nyerere anang'ang'ana tusakwe, tufikishwe mahakamani, tufungwe. Anachokiona yeye humu ni matusi tu!
JF ina mchango mkubwa sana,we unadhani kwanini walitaka kuifungia mwaka 2008?Membe jana alipokuwa anajibu hoja ya msemaji wa Upinzani ( H. Wenje) kuhusu Rais kuitwa omba omba kwenye mkutano wa Davos na wazungu alisema; Nimefuatilia hoja yako kupitia mtandao wa waandaaji wa mkutano wa DAVOSlakini sikupata --- kumbukumbu za mkutano wa DAVOS hazipatikani kwenye mitandao yao ila zinapatikana ktk JF.
Mwakyembe akijibu swali la H. Wenje kuhusu bandari ya Mtwara ( Sikumbuki swali la Wenje na siku ) alisema hiyo habari umeichukua JF ( kama vile na yeye ameona JF)
My take;
Je, hii ni kusema kwamba sasa JF Inasomwa sana na viongozi wakubwa wa serikali, na ndio maana taarifa nyeti za serikali zinawekwa humu JF? Je, JF itakuwa na mchango mkubwa sana ktk kubadilisha siasa za nchi yetu kadri internet inavyoingia mpaka kwenye simu za mkononi nk?.
Ninawaza tu.
Membe jana alipokuwa anajibu hoja ya msemaji wa Upinzani ( H. Wenje) kuhusu Rais kuitwa omba omba kwenye mkutano wa Davos na wazungu alisema; Nimefuatilia hoja yako kupitia mtandao wa waandaaji wa mkutano wa DAVOSlakini sikupata --- kumbukumbu za mkutano wa DAVOS hazipatikani kwenye mitandao yao ila zinapatikana ktk JF.
Mwakyembe akijibu swali la H. Wenje kuhusu bandari ya Mtwara ( Sikumbuki swali la Wenje na siku ) alisema hiyo habari umeichukua JF ( kama vile na yeye ameona JF)
My take;
Je, hii ni kusema kwamba sasa JF Inasomwa sana na viongozi wakubwa wa serikali, na ndio maana taarifa nyeti za serikali zinawekwa humu JF? Je, JF itakuwa na mchango mkubwa sana ktk kubadilisha siasa za nchi yetu kadri internet inavyoingia mpaka kwenye simu za mkononi nk?.
Ninawaza tu.
Hakika umenena Suzie hii ni shule nzuri sana kwaoWanajificha na wanajifichua watuache tuendelee kuwapa mbinu za kuongoza hii nchi
Membe jana alipokuwa anajibu hoja ya msemaji wa Upinzani ( H. Wenje) kuhusu Rais kuitwa omba omba kwenye mkutano wa Davos na wazungu alisema; Nimefuatilia hoja yako kupitia mtandao wa waandaaji wa mkutano wa DAVOSlakini sikupata --- kumbukumbu za mkutano wa DAVOS hazipatikani kwenye mitandao yao ila zinapatikana ktk JF.
Mwakyembe akijibu swali la H. Wenje kuhusu bandari ya Mtwara ( Sikumbuki swali la Wenje na siku ) alisema hiyo habari umeichukua JF ( kama vile na yeye ameona JF)
My take;
Je, hii ni kusema kwamba sasa JF Inasomwa sana na viongozi wakubwa wa serikali, na ndio maana taarifa nyeti za serikali zinawekwa humu JF? Je, JF itakuwa na mchango mkubwa sana ktk kubadilisha siasa za nchi yetu kadri internet inavyoingia mpaka kwenye simu za mkononi nk?.
Ninawaza tu.
Leticia Nyerere anang'ang'ana tusakwe, tufikishwe mahakamani, tufungwe. Anachokiona yeye humu ni matusi tu!