Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Ati Mh Zitto kashalegea.
Tusubiri muda wa kura
Ati Mh Zitto kashalegea.
Tusubiri muda wa kura
Hivi lazima kuwasoma wachiangiaji wote?? Ina tija gani.
wewe ni limbukeni wa mambo ya bunge. wassira ni waziri. anajibu hoja za wabunge waliochangia kuhusu mambo yanayohusu wizara yake.. lazima awataje majina. nimekubali mzee wassira ni gwiji wa siasa za tanzanai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!! big up mtu mzima!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!
siyo siri toka bunge la bajeti lilipoanza, ccm imefunika sn. chdm angalien mmejikwaa wapi! chdm hoi bin taaban
Anaongea utumbo utumbo tu
wewe ni limbukeni wa mambo ya bunge. wassira ni waziri. anajibu hoja za wabunge waliochangia kuhusu mambo yanayohusu wizara yake.. lazima awataje majina. nimekubali mzee wassira ni gwiji wa siasa za tanzanai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!! big up mtu mzima!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!
siyo siri toka bunge la bajeti lilipoanza, ccm imefunika sn. chdm angalien mmejikwaa wapi! chdm hoi bin taaban
wewe ni limbukeni wa mambo ya bunge. wassira ni waziri. anajibu hoja za wabunge waliochangia kuhusu mambo yanayohusu wizara yake.. lazima awataje majina. nimekubali mzee wassira ni gwiji wa siasa za tanzanai!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!! big up mtu mzima!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!
siyo siri toka bunge la bajeti lilipoanza, ccm imefunika sn. chdm angalien mmejikwaa wapi! chdm hoi bin taaban