Tonge
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 695
- 12
Kwa mtazamo wangu nimeyapokea matokeo ya uspika (makinda kura 265 na marando kura 53) kama kuna upizani ndani ya kambi ya upinzani ambao ulianza wakati wanachagua kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni.
Nimesikia CUF nao watachagua kiongozi wao licha ya chadema kumchagua mbowe kutokana na kutimiza masharti kwa kanuni za bunge.
Huu ni mpasuko ndani ya kambi ya upizani na haswa huletwa na CUF, niwaombe wabunge wa upinzani kukaa ili waweze kutoa hizi tofauti zao, maana kama wanataka kuibomoa CCM lazima wawe kitu kimoja.
Nimesikia CUF nao watachagua kiongozi wao licha ya chadema kumchagua mbowe kutokana na kutimiza masharti kwa kanuni za bunge.
Huu ni mpasuko ndani ya kambi ya upizani na haswa huletwa na CUF, niwaombe wabunge wa upinzani kukaa ili waweze kutoa hizi tofauti zao, maana kama wanataka kuibomoa CCM lazima wawe kitu kimoja.