johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,599
- 141,416
Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Jana nilifuatilia kwa karibu uwasilishaji wa ripoti ya PAC kuhusiana na ripoti za CAG na ile verification statement ya 1.5T.
Nilichojifunza ni kwamba wapinzani bado wana uwezo wa kujenga hoja pamoja na mihemko ya wabunge wachache wa CHADEMA like Mdee na yule wa Mbozi.
Wabunge wa CUF wanaonesha umakini na utulivu mkubwa kiasi cha kutoonekana kwa pengo la wabunge takribani 10 wa upinzani waliohamia chama tawala.
Ndipo sasa najiuliza CCM tuliuziwa mbuzi kwenye gunia? Mbona moto wa upinzani ni "kama" ule ule?
Ushauri:
Mbunge wa CCM kama huna hoja usisimame tu ili kuuza sura sometimes mnatuaibisha.
Fikiria anasimama mbunge wa chama tawala ambaye ni mjumbe wa PAC tena mwanamama halafu anashindwa kutofautisha kati ya adjustments na reallocations na kuishia kutia aibu. Next time Dkt. Tulia usiwape nafasi hawa wauza sura.
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!
Jana nilifuatilia kwa karibu uwasilishaji wa ripoti ya PAC kuhusiana na ripoti za CAG na ile verification statement ya 1.5T.
Nilichojifunza ni kwamba wapinzani bado wana uwezo wa kujenga hoja pamoja na mihemko ya wabunge wachache wa CHADEMA like Mdee na yule wa Mbozi.
Wabunge wa CUF wanaonesha umakini na utulivu mkubwa kiasi cha kutoonekana kwa pengo la wabunge takribani 10 wa upinzani waliohamia chama tawala.
Ndipo sasa najiuliza CCM tuliuziwa mbuzi kwenye gunia? Mbona moto wa upinzani ni "kama" ule ule?
Ushauri:
Mbunge wa CCM kama huna hoja usisimame tu ili kuuza sura sometimes mnatuaibisha.
Fikiria anasimama mbunge wa chama tawala ambaye ni mjumbe wa PAC tena mwanamama halafu anashindwa kutofautisha kati ya adjustments na reallocations na kuishia kutia aibu. Next time Dkt. Tulia usiwape nafasi hawa wauza sura.
Jumamosi njema
Maendeleo hayana vyama!