kwamba wakisema mfalme ana minyoo
wakisema rais wetu ana minyoo?
Possibly,Shibuda anafanya maandalizi ya kurudi mjengoni ifikapo 2015, wasi wasi nilio nao juu yake, vipi atafaulu mtihani wa CHADEMA unao tarajiwa kufanyika 2015 ?[/QUOTE]
Ha ha haaa, hapa mkuu nimecheka sana, kweli saa ingine kuna mambo inabidi ucheke tu! Mtihani...duh! Itakuwa ya kwanza duniani!
si udhaifu bali ni matokeo ya maabara. Leo Shibuda kazinduka
Shibuda amesema kuna mabaya ya serekali na mazuri ya serekali,mabaya upinzani na mazuri ya upinzani,hivyo serekali inapochokonyoa upinzani na ndivyo upinza huchokonyoa serekali,amepongeza jeshi la mkoa wa shimiyu akaenda mbali zaidi akiwataka CCM ikubali kukosolewa kwamba wakisema mfalme ana minyoo wasizani kuwa mfalme kafedheheshwa bali anakumbushwa juu ya afya yake,akamea jeshi a polisi kupendelea ma DC,na kutaka kuboresha demokrasia na utawala bora,mwisho ana makinda kamsifia kuwa leo kaongea lugha nzuri na kwa hekima.
Crashwise hata ujumbe wa serikali ya familia yake hawezi ataweza ubunge?au amesikia tetesi kuwa crashwise anajipanga kuchukua jimbo lake....
Naye huyu utafikiri MRAHABA wa madini ya tanzania 3% upinzani 97% haeleweki
Ana utapia ubongoMkubwa hapo baba r1 amegunduliwa ana minyoo.
Nje ya topic, hivi huyu jamaa amekaa sana pwani? maana ni tofauti sana na sie wa huku Imalamakoye
Shibuda ni mchicha mwiba
ahahahhhhh, eti imalamakoye, nimecheka mie lol
mtu aniimbie ule wimbo wa kigeugeu,polisi vigeugeu, wanasiasa vigeugeu, shibuda nae nikigeugeu
Ana minyoo ya uongozi ndio anakuwa DHAIFU kila kuchao!.
don't trust him anymore
Huku Imalamakoye ndimi zetu huwa nzito kidogo kuongea sasa yeye ni balaa kwenye kuongea kama mghani mashairi
Aisee kweliYawezekana alihama imalamakoye miaka mingi liyopita akaamua kwenda kuishi zake pemba kama sio mombasa