The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 15,388
- 12,971
Mbona hata Pinda alikuwa Waziri Mkuu baada ya kupita bila kupingwa.Majaliwa anaingia kwenye historia ya Tanzania ya kuwa waziri mkuu wa kwanza aliyepata uwaziri mkuu bila ya kuwa mbunge wa kuchaguliwa na wananchi moja kwa moja. (Majaliwa ni mbunge wa kuteuliwa na NEC!)
Ni aibu kubwa.