Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,287
- 10,842
Nisamehewe Mkuu. Kumbe mpaka Moshi uliwaka kule. Unajua ndiyo ubongo wangu umechukua frequency. Wanasema"Si kila king'aacho ni Dhahabu"Ana busara za kuwasaliti wanakusini kuhusu mazao yao?
Au unazungumzia busara za kupita bila kupingwa?