Yaani hakika nimefurahi mno. Majaliwa ni best PM. Ana busara nyingi, mnyenyekevu na mtendaji.
Hongera sana Mh. Rais kwa kumuamini tena Mh. Majaliwa.
Moja ya wa wasioweza kumsaidia Rais kabisa! Mambo mengi ya serikali yanayoibuliwa na kufanywa na Rais yalipaswa kufanywa na huyu jamaa lakini kila mara yeye yuko nyuma.
Unachokiita ni unyenyekevu hasa ni uoga!