Ngaramtoni
JF-Expert Member
- Sep 10, 2012
- 429
- 61
ni vema huu mchakato ukafanyika kuanzia miaka ya nyuma,hapo napata wasiwasi kama hata JK hausiki,ni mtazamo tu
jioni hii mbunge wa arumeru mashariki chadema joshua nassari ameendeleza wimbi la kutetea matumizi mabaya ya fedha ya umma kwa kujitetea kuwa tuhuma zilizotolewa dhidi yake na dhidi ya wabunge wengine ni mipasho. akainuka mh kessy akasema kuwa tuhuma hizo zimeshatolewa maamuzi na bunge kuwa waliochukua posho hizo warudishe mara moja.
suala hili limeendelea kuwa mwiba kwa wabunge wa upinzani ambao wameonekana wazi kuwa wameteleza katika suala hili la ukosefu wa maadili ya uongozi.
Tupe brief ya alichosema mkuu, maana hawa jamaa mabingwa kupotoshaIvi unafaidika nini kuongea uongo?
Ni wapi alipotetea matumizi mabaya?
Umemsikiliza ukamuelewa alichokisema? Unasikitisha sana!
wabunge wanashindwa kujadili yale ya msingi kwa maslai ya taifa kama wagonjwa kukosa matibabu, wanafuzi kukosa mikopo na umaskini kuongezeka , migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na wakulima hiyo ya posho ndiyo wana weza wakati kapuya amebaka na walalamikaji walifika mpaka bungeni kwa spika na kamati ya maadili wakashindwa kuchukua hatua na spika hakaishia kuwapa walamikaji tsh 1,000.000.00 akanunue dawa ya F9 ya ukimwi aliyopata kutoka kwa kapuya
On Thursday, December 19, 2013 7:40 AM, Josh Nassari <jsh.samwel@gmail.com> wrote:
---------- Forwarded message ----------
From: Josh Nassari
Date: Wednesday, December 18, 2013
Subject: Ziara ya kamati ya bunge ya maendeleo ya jamiijamii
To: makene_84@yahoo.com
---------- Forwarded message ----------
From: Josh Nassari <jsh.samwel@gmail.com>
Date: 2013/11/28
Subject: Fwd: Ziara ya kamati ya bunge ya maendeleo ya jamiijamii
To: "slaa@chadema.or.tz" <slaa@chadema.or.tz>, wpakoslaa5@gmail.com
---------- Forwarded message ----------
From: Josh Nassari
Date: Thursday, November 28, 2013
Subject: Ziara ya kamati ya bunge ya maendeleo ya jamiijamii
To: thomasdidimu@yahoo.com
Cc: Josh Nassari <jsh.samwel@gmail.com>
Katibu wa Bunge,
Salaam, napenda kuijulisha ofisi yako kuwa nilipaswa kwenda Ziara ya mafunzo nakamati yangu ya kudumu ya bunge ya maendeleo ya jamii nchini Malaysia.
Kwa sababu zilizo juu ya uwezo wangu niliamua kusafiri baada ya kamati kusafiri kwa sababu ya harambee nilipaswa kuiongoza kanisani jimboni kwangu.
Baada ya harambee hiyo ikajitokeza dharura nyingine ambayo mpaka sasa imenizuia kusafiri kuungana na kamati yangu.
Nilishapokea posho ya kujikimu toka ofisi ya Bunge. Pls advise as per this matter ili ya kaisari nimpe kaisari na ya Mungu nimpe Mungu.
Hope all is well.
JN.
--
Hon. Joshua S. Nassari
Member of Parliament
Arumeru East Constituency
The Parliament of Tanzania
jsh.samwel@gmail.com
+255 (0) 767 225 758
+255 (0) 784 225 758
Peleka upuuzi wako amekutuma wewe kwa nini yeye mwenyewe asiuseme pale bungeni kuna waandishi wa habari wengi tu, kinanachotakiwa arudishe pesa za walipa kodi watanzania hawaitaji porojo, vipi hauna ushahidi wa Mbowe kule Dubai na Joyce Mukya!
Ningependekeza moja ya semina wanazojipa wabunge basi wajipe semina za communication skills mara kwa mara ili kuweza kufanya mawasiliano yanayoendana na hadhi ya taasisi (Bunge) wanayoitumikia na heshima na nafasi yao kwa jamii.Katibu wa Bunge,
Nilishapokea posho ya kujikimu toka ofisi ya Bunge. Pls advise as per this matter ili ya kaisari nimpe kaisari na ya Mungu nimpe Mungu.
Hope all is well.
JN.
Peleka upuuzi wako amekutuma wewe kwa nini yeye mwenyewe asiuseme pale bungeni kuna waandishi wa habari wengi tu, kinanachotakiwa arudishe pesa za walipa kodi watanzania hawaitaji porojo, vipi hauna ushahidi wa Mbowe kule Dubai na Joyce Mukya!
Mr Kashilila anajua