Sema kweli .Wabunge wa CCM ni mzigo kwa Taifa maana hawajui wajibu wao.
Great question!Kwani miaka ya nyuma watu walikuwa hawaendi makazini?
Ni aibu kwa Ndugai mwanaume mzima unakuja kulialia kwenye mitandao maana yake nini? Safi sana hako ka mama kama kamempiga bao Ndugai! Huwa ananikera sana anapokuwa na upendeleo wa wazi!! Sasa yeye kama Mkuu wa bunge si atengue hayo maagazo ya hako ka mama?Wabunge wa CCM ni mzigo kwa Taifa maana hawajui wajibu wao.
Tushasema haiwezekani,gharama ni kubwa,alafu bunge sio press conference , tanzania yangu mhhhhMie nilikuwa ninashauri hivi, kwa kuwa watu wengi wanatoka kazini saa 10 basi tbc ionyeshe live bunge la jioni kuanzia saa 10 hadi wanapofunga.halafu warushe recorded kuanzia saa tatu usiku kwa ajili ya mijadala iliyofanyika asubuhi. Hili likifanyika watu hawatakuwa na shida sana.nikweli wengi wetu asubuhi tunakua kwenye pilika lakini ile jioni mpaka mapema ya usiku usiozidi saa 4 kamikli jioni/usiku ndo mda mzuri wa kufuatilia.
Kama serikali inania safi basi ichukue huu ushauri kuliko inavyofanyika sasa
Mmeanza kuisoma nambaNani amsikilize mwizi wa magari.
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, naona magamba mmeanza kuumbuana na baaadoooooMmeishiwa hoja mnatapatapa
Teeeeeeeeh teeeeeeeeh teeeeeeeeeh, naona magamba mmeanza kuumbuana na baaadooooo
Ni Kweli Kabisa. Ndugai Alitumia Nguvu Ya Ziada Hadi Kumtandika Mtu Bakora Akazimia. Hawezi Kuwa Sawa Na Huyu Wa KupewaHuyu Naibu Spika ndivyo alivyo, ninyi mlitaka afanyeje wakati Ubunge alipewa kama Zawadi?
Tena hapa Serikali inajificha kwenye nyumba ya kioo
Unaijua treni?ina jicho moja, unajua tochi ya wachimba madini?
Nani amekwambia kuwa nchi hii inaendeshwa kwa sheria mbalimbali na Katiba ya nchi?Kwani Bunge si linaendeshwa kwa sheria, taratibu na kanuni? Kama ndivyo basi ukaribu wa mtu na mtu hauwezi kuathiri shughuli za bunge.