Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
eti chenge naye anaongea as if ni mtu mwema sn, anaiambia serikali asante sn kwa kuleta mswada mzuri,
Noja nianze kukujibu wewe basi....upo kwenye ukombozi ndani ya JF? lol...hii kali!usimjibu REJAO yuko kazini si tuko kwenye ukombozi
hahaahhahahahahahaaaaa..............damn! wabunge wa CCM! Kwani Wassira kaamka usingizini?MIPASHO TU! Na eti CDM wanapokea misaada yenye masharti ya ushoga
Noja nianze kukujibu wewe basi....upo kwenye ukombozi ndani ya JF? lol...hii kali!
kinachomsumbua CHENGE ANASEMA NI 'watu walewale, sehemu zilezile wanataka mambo yao yaaminiwe' dongo kwa wanaharakati wa jukwaa la katiba na LHRC