Kuna mtu hata kabla hajaongea unajua anachotarajia kuongea, Wasira na Shivji ni sawa na Mlima kilimanjaro na kichuguu. Wasira umelewa ugimbi wa madaraka.Si ajabu akaanza kukoroma sasa hivi!
Naona umeandika kifacebook facebookKwa kweli nimechoka kusikiliza vijembe na kashfa zinazotolewa na wabunge wa ccm, nimechoka kunyima haki yangu ya kutoa maoni yangu juu ya mswada na mambo mengine, SITAKI KUSIKIA kitu chochote ZAID YA KUDAI HAKI yangu,
MIPASHO TU! Na eti CDM wanapokea misaada yenye masharti ya ushoga
Kweli CDM wamewashika pabaya....watu wanasahau hata serikali yao inapokea misaada kutoka nchi hizohizo zinazohimiza ushoga. Naona kweli wameamua kuujadili muswada.MIPASHO TU! Na eti CDM wanapokea misaada yenye masharti ya ushoga
Si Mlisema Chadema na NCCR wametoka na yamebaki "Madodoki" matupu humo! Sasa mnasikiliza nini huko!MIPASHO TU! Na eti CDM wanapokea misaada yenye masharti ya ushoga
Kuna mtu hata kabla hajaongea unajua anachotarajia kuongea, Wasira na Shivji ni sawa na Mlima kilimanjaro na kichuguu. Wasira umelewa ugimbi wa madaraka.
Hivi huyu Wassira ndiyo kichwa pekee kilichobaki huko CCM au vipi?? Maana siku hizi naona kila kwenye jambo vyeti huwa anapewa nafasi ya kuongea yeye!!