Ha ha ha, viazi mbatata!!Hivi kwa nn watu wa mkoa wangu hawakupambana ili tuwe nchi huru kuliko ku katika nchi moja na hivi viazi mbatata?
Mkwawa fufuka tupiganie nchi yetu
Tunapata tabu kuwaelewa waheshimiwa wanaposema "Waganga wa jadi" hao waganga wa jadi wanaokusudiwa ni wepi??Msukuma, ameitaka Serikali kuwapa nafasi Waganga wa jadi katika kutumia dawa zao kutibu watu wanaougua Corona.
kwa vile haya yanajadiliwa tanzania inaokena ajabu lakini china wametangaza kutumia dawa ya asili inayotokana na nyongo ya dubu na miti ya asili sio wa ajabuTumefikia hapa kweli? Ila sishangai hakuna mtu bungeni apo ambaye hafanyi ushirikina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbunge wa Geita, Joseph Msukuma, ameitaka Serikali kuwapa nafasi Waganga wa jadi katika kutumia dawa zao kutibu watu wanaougua Corona.
Amesema akili za Waafrika wengi zimejazwa imani za Magharibi kiasi cha kudharau tiba za asili zilizotumika enzi na enzi.
Aidha, hoja hiyo iliungwa mkono na Spika Job Ndugai, aliyesema yupo Msomi mmoja ameandika dawa zinazoweza kutibu virusi vya corona lakini kutokana na imani za mila za Magharibi hakijapewa kipaumbele.
Tiba asilia inahusika na NIMR
Dr Otieno pia ashauri herbal tea na kujifukiza.na radio Dutch Welle
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tiba za asili sio ushirikina tu kama ulivokalili.Mfano kama unaumwa mafua!ukachukua tangawiz asali limao na kitunguu Saum ili kujitibia.Hiyo ni tiba asili tena mzuri sasa ushirikina upo wapi hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app