Sikio la kufa litajifunza nini; kama madini yenyewe yana upupu kwa nini tuendelee kuwashwa shuruti tuwamwagiye wengine wakawashwe huko.Anasema mchango wa sekta ya madini kwa pato la serikali ni asilimia Tatu!, na bado hatujifunzi. Tunaendelea kuwapa misamaha ya kodi
Huyo anayehitaji mwongozo anania ya kumpunguzia muda wa kumwaga pointi.Ningeshangaa amalize bila mwongozo..
Ningeshangaa amalize bila mwongozo..
Mhagama ni kichwa tena ingekuwa bora kama ni uspika angekuwa yeye lakini kwakuwa magamba hawataki mjuzi na mzalendo nyota ikamwangukia bi kirobotomhagama anamzidi makinda upeo nimependa alipoitosa taarifa