Doroth Kilave: Serikali ijenge shule mpya jimboni kwangu kwani wananchi wanazaana sana

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,600
217,996
Mbunge wa Jimbo la Temeke (CCM), Dorothy Kilave ameihoji Serikali ina mpango gani wa kujenga shule katika jimbo la Temeke kwa sababu wana watoto wengi wa darasa la kwanza akidai wanatokana na wananchi wa eneo hilo kuzaliana sana.

Kilave.jpg

Habari kamili ndio kama mnavyoona
 
Back
Top Bottom