beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga amesema katika Jimbo lake, Askari wa Maliasili wamekuwa na tabia ya kukamata watu na kuua akihoji, "Miongozo inaruhusu kumkamata Mtu na kumuua?"
Hata hivyo kabla ya Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja kumjibu, Spika Tulia Ackson akasema, "Umesema mambo mazito hapa kwamba watu wanauawa huko. Peleka swali la msingi ili yaletwe majibu mahususi kwasababu hatutaki kusikia habari za watu kuuawa kwenye Hifadhi"
Hata hivyo kabla ya Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja kumjibu, Spika Tulia Ackson akasema, "Umesema mambo mazito hapa kwamba watu wanauawa huko. Peleka swali la msingi ili yaletwe majibu mahususi kwasababu hatutaki kusikia habari za watu kuuawa kwenye Hifadhi"