USTAADHI
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 1,516
- 136
Pinda ameonesha kwamba hafai kuwa hata mkt wa kijiji na mi naona kuendelea kumuuliza pinda maswali yanayojibiwa na MAKINDA ni kupoteza mda mi naomba kipindi cha maswli ya pinda kifutwe mpaka hapo tutakapo pata mtu mwenye uwezo wa kujibu maswali kama waziri mkuu. Ninaumia sana hasa ninapomuona pinda na makinda wanachezea maisha ya wtz kwa kutoa majibu ya kitoto kwenye mambo makubwa.