Huna kifungu? Taja. Haliruhusiwi kwa mujibu wa nani, sheria gani, nani kasema?
Usitoe authoritative statements kama huna hakika. Na usiseme unasubiri ufafanuzi wa Spika, Spika sio authority wa sheria za Tanzania, hata Pius Msekwa ashasema huyu Makinda tatizo hakwenda law school!
Bunge linakatazwa kujadili swala lililoko mahakamani?
Kwa hiyo nikitaka Bunge lisijadili Budget nikimbilie mahakamani nikafungue kikesi about some tax law iliyomo kwenye budget proposal halafu nita foreclose parliamentary debate on the budget! You wish.
Kabla waziri mkuu hajajibu speaker akaingilia kati nakusema kuwa hilo swala lipo mahakamani na kuna lawama tumepewa kuwa sisi bunge tunaingilia mihimili mingine ya dola, mwisho wa majibu ya speaker.
Walipo lizungumzia swala la mauji ya arusha hicho kifungu hakikuwepo au walikuwa hawakijui au mambo yamekuwa magumu hasa baada ya kugundua wanachemka waache unafiki....
Ndio maana speaker huwa anamkingia kifua MP asijibu baadhi ya maswali. Anajua alivyo mtupu na ananavyotia aibu.