GHOST RYDER
JF-Expert Member
- Jun 10, 2011
- 1,025
- 475
Leo ni Alhamisi dk 30 zijazo tutamshuhudia waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Kayanza Peter Pinda akijibu maswali ya Papo kwa papo kwa wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Sina shaka maswali ya leo yatakuwa na msisimko wa aina yake na huenda majibu pia yakawa ya funika kombe mweanaharamu apite.
Masuala mengi yanalitikisa Taifa sasa:
Posho za Wabunge
Tume ya Maadili ya Viongozi
Baadhi ya Wabinge CCM kuonekana kuikubali hoja ya Upinzani
Mkanganyiko wa Bajeti na mengine mengi
Tupo katika Luninga tunasubiri
Sina shaka maswali ya leo yatakuwa na msisimko wa aina yake na huenda majibu pia yakawa ya funika kombe mweanaharamu apite.
Masuala mengi yanalitikisa Taifa sasa:
Posho za Wabunge
Tume ya Maadili ya Viongozi
Baadhi ya Wabinge CCM kuonekana kuikubali hoja ya Upinzani
Mkanganyiko wa Bajeti na mengine mengi
Tupo katika Luninga tunasubiri