Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,703
- 15,151
Mbunge wa Kisesa mh Luhaga Mpina leo wamewavaa vikali bungeni waziri wa nishati pamoja na naibu wake kutokana na tatizo la kukatika umeme na kuchelewa kujazwa maji kwa bwawa la kufua umeme la mwl Nyerere.
Mpina amehoji ni kwa nini waziri wa nishati January Makamba kwenye kamati alitoa sababu tofauti na hizi anazotoa bungeni za kuchelewa ujenzi wa bwawa? Amefafanua kwenye kamati alisema limechelewa sababu ya mkandarasi kuchimba handaki moja badala ya sita na bungeni alisimama na kusema bwawa limechelewa sababu crane ya kubeba tani 26 haipo na haijafika nchini.!
Mpina amehoji ni kwa nini waziri wa nishati January Makamba kwenye kamati alitoa sababu tofauti na hizi anazotoa bungeni za kuchelewa ujenzi wa bwawa? Amefafanua kwenye kamati alisema limechelewa sababu ya mkandarasi kuchimba handaki moja badala ya sita na bungeni alisimama na kusema bwawa limechelewa sababu crane ya kubeba tani 26 haipo na haijafika nchini.!