Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
ina maan hakuna TV yoyote inayoonyesha bunge??
Nashangaa sana kuona asubuhi hiiTBC hawaoneshi Bunge leo, maana nashindwa kabisa kuelewa TBC kama Luninga ya taifa ni kitu gani muhimu wanachopaswa kuonesha kama si bunge jamani? na hii sio mara moja, majadiliano ya katiba hawayaoneshi, si Kongamano la UDASA wala Public Hearing ya Mswada!
Nini kazi ya Television ya taifa jamani au kuna hitilafu? Tuambiane!
aysee nimetegeshea radio yangu hapa kazini hadi nimerekebisha saa kumbe hawako hewani!duuh......................tunarudi enzi za TANU sasa!
CJUI TZ 2NAKWENDA WAPI?................
Pasco, thanks for always keeping us posted kwenye masuala ya Bunge... kwakuwa wengi tuko makazini (au nje ya nchi), na kuweza access bunge ni ngumu... tunaomba kama utakubali, uwe unatupa dondoo za yanayojiri
Nafahamu kwamba unaweza na nita-appreciate sana msaada huu kwa faida ya wanaoipenda Tanzania including mimi na wewe
:help:
Kinachoonekana Serikali inakimbia kivuli chake mwenyewe.
Katika maswali ya papo kwa papo kwa Waziri mkuu Pinda leo asubuhi spika wa bunge Anna Makinda aliamua kuruka jina la Mh G Lema ambaye alitakiwa kumuuliza waziri mkuu ila kwa mshangao wa wengi G Lema hakupewa fuksa hiyo na ikabidi aombe mwongozo lakini kama kawaida Spika Anna Makinda akamchinjia baharini.
My take:
CCM INAKIMBIA KIVULI CHAKE MWENYEWE
Nawasilisha