Bungeni Live: Naibu spika akataa hoja ya Lissu kuzungumzia kuzama kwa meli

Ni bora nisiwe mbunge au niwe mbunge sio kwa maspika kama hawa watanipiga ban kila kikao
 
Baada ya kushuhudia malumbano hayo, sasa nimeamini, poasi na shaka kabisa kuwa serikali yetu ni mwoga mkubwa wa hoja.

Hivi kuna ubaya gani kulijadili suala hili? tena, katika mjadala serikali ingepata mawazo mazuri kutoka kwa wabunge jinsi ya kushughulikia masuala haya

Hoja zinanaweza kuletwa hata kwa maandishi sio lazima kujadiliwa kwa kusema, kwani wamekatazwa watu kuletwa kwa maandishi ?
 
Lisu anajua sheria na ana hoja mara ishirini zaidi ya Werema.atake asitake hata wakiingia darasani Lisu atamuacha mbali sana Werema.

Kabisa! huwezi kumlinganisha Lissu na Werema. Sujuwi nani alimteua Werema, jamaa lina uwezo mdogo sana ndio maana alishindwa hata mtihani wa uwakili!
 
katika kutengeneza mazingira kukwepesha ombi la Lissu juu ya kutoa hoja ili kujadili ajali ya mali iliyotokea juzi, AG- Werema ametumia kauli tata na ya matusi ikiashiria kwamba Lissu japo ana nywele lakini huwezo wa kufikili hana. jambo ambalo limezua mjadala hasa baada ya Lissu kuomba utaratibu na kumtaka Naibu Spika amwamulu AG-Werema afute maneno yake na Naibu Spika kakataa kukubaliana na Lissu; kuona hivyo Lissu kahamua kutoka nje kitendo hicho kimeitikiwa na baadhi ya Wabunge.
Mkuu PrN-kazi asante sana kwa taarifa hii japo imenitia kichefuchefu.
Ni kweli kuwa "kuna watu wanaishi tu kwasababu hatuna ruhusa ya kuwaua" vinginevyo wasingekuwa hai.
 
Hakuna mtu ninayemdharau Tanzania hii kama huyu kilaza werema. Sijui huyo aliyempa ujaji alitumia vigezo gani nashindwa kabisa kuelewa yaani. Mbaya zaidi yeye eti ndiye mwanasheria mkuu wa serikali looooooool shem to this jk's gvt.
 
Hata kama wametunyima tusiwe tunasikiliza bunge kwa radio,tumeshapata habari na tuna hasira nao sana haya mashetani magamba wasiojali utu wetu,ina maana wanamuongoza nani kama hawataki tujadidili maisha yetu?wanataka raia tufe wao waendelee kufaidi nchi yetu na familia zao?....M/Mungu hatatuacha watu wake!!
 
Nilikuwa naangalia bunge wakati mwanasheria mkuu anamtetea spika juu ya uamuzi wake wa kukataa ombi la Tundu lissu kutoa hoja ya kuahirisha bunge ili kujadili ishu ya ajali ya meli. Kwa kweli kwa uelewa wangu mdogo sana wa mambo ya bunge na sheria pia ( mimi si mwana sheria wala mbunge) huyu AG wa serikali yetu sijui aliwezaje kuwa jaji na kuteuliwa pia kuwa AG. Anavyojibu alivyokuwa anaongea ni wazi kabisa inaonesha hajui kanuni na pia anachokiongea na kuishia na kutoa lugha ya kuudhi wabunge wengine hasa mtoa hoja. AG ni mtu mkubwa sana sikutegemea anaweza kuwa hivyo.

Alicho sema lugha ya kuudhi ni kipi ? kwani mbona vichaa wana nywele ila akili hawana ? kuwa mwelewa na pole kwa kutetea mpaka povu la mdomo linakutoka
 
KAULI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: 'Kuwa na nywele nyingi haimaanishi una uwezo wa kufikiri', sasa baada ya Lissu kuilaani kauli hiyo akiitafsiri kwamba ina lengo la kumdhalilisha yeye na wengine kwamba wana nywele lakini hawana uwezo wa kufikiri, akamwomba naibu spika amwamuru AG aute kauli yake...lakini Ndugai akasema hiyo ni kauli ya kawaida maana ni ukweli.
MY THINKING: Naona bunge linajitahidi sana kufata utaratibu na kuangalia maneno ya kuudhi kutoka kwa vyama pinzani tu, ila kauli hiyo hiyo ikitolewa na serikali inaonekana ni ya kawaida. Fikiria angeisema hiyo kauli Tundu Lisu kwa manasheria wa serikali!! Nadhani angekatishwa palepele na kuamriwa afute kauli mara moja!!
 
baada ya kuona kukataa mambo ya msingi yasijadiliwe kwa kisingizio kuwa yapo mahakamani sasa wameibuka na kitu kipya cha kutofuata kanuni za bunge.naibu spika kachemsha sana kukataa kuwa werema hajasema kuwa kuwa na nywele sio kuwa na uwezo wa kufikiri, dhambi hii itamuandama mpaka mwisho wa vikao hivi vya bunge
 
Kwakweli inasikitisha sana jinsi mwanasheria mkuu wa serikali na waziri Lukuvi na viongozi dhaifu wa bunge wanavyoshirikiana kuzima hoja pale bungeni.
Leo hii tena Lukuvi na mwanasheria mkuu wametumia uzaifu wa naibu spika kuzima hoja ya mh. Lisu aliyoitoa ili kujadili swala la ajali ya meli.Wabunge wengi hasa wa upinzani walijitahidi kumshauri naibu spika ili hoja hiyo ijadiliwe lakini naibu spika kwa makusudi na kwa kupindisha kanuni alikataa hoja hiyo ya mh.Lisu.Ni kama spika alivyokataa hoja ya mh.Hamad Rashidi juzi.Hii ni hatari kwa taifa kwani hili bunge sasa liko kuilinda serikali na si kutete wananchi.
Hata hivyo wabunge wengi wa upinzani walitoka nje ya bunge.
Binafsi inaniuma sana na najiuliza huyu Lukuvi na mwanasheria mkuu wa serikali kama kweli ni watanzania na wana uchungu na watu wa chii hii.
Mungu atalipa kwa dhuluma hii.Inauma sana hasa kama unafuatilia mambo haya bungeni.
Viongozi wa leo ni janga kwa taifa.
 
Ili taifa linaongozwa na matahaira,Ag kusimama na kutukana ni jambo la kihuni! Tundu lissu hakupoteza ndugu kweli meli,lakini akitaka haki itendeke wahuni wanasimama na kumkatiza,watanzania tumechoka na upuuzi huu! Ivi mnataka tuwe tumekufa ndo mtoe posho zenu?ivi serikali hii ni mtandao wa shetani,mungu au freemasons au nini? Ni majuha pekee wanaoweza kupingana na hoja ya tundu lissu au ya deo filikunjombe wanaotaka uwazi,tumechoka na upumbavu huu,yani bora hata bunge lisiwepo kabisa!
 
Ccm huwa hawajui kupima upepo unakwendaje!hata kama hoja haikuwa na maana lakin wangekubaliana nayo atleast ingeonekana wanajali! Wanazidi kuzidisha chuki kwa wananchi kutokana na tabia zao za kibabe.
 
Kabisa! huwezi kumlinganisha Lissu na Werema. Sujuwi nani alimteua Werema, jamaa lina uwezo mdogo sana ndio maana alishindwa hata mtihani wa uwakili!

umeshahau ameteuliwa na mista dhaifu..... sasa unategemea nini zaidi ya uthaifu huenda hata chooni huenda kidhaifu si umewahi kuingia baadhi ya vyoo ukakuta mavi ukutani hutashanga watu dizaini ya werema ndio wanamchezo huo

 
Back
Top Bottom