Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,441
- 113,450
`Wanabodi,
Ule mjadala wa jana kuhusu marekebisho ya sheria ya marekebisho ya katiba, Yale Malumbano ya jana kuhusu matumizi ya ma DC au ma DED umemalizika rasmi!.
Makubaliano hayo yamewakubali wote wawepo, ma DED na ma DC wawepo, ila tume imepewa mandate ya kuwatumia yoyote kati ya hao pale itakapoona inafaa!.
Kuliibuka tena malumbano ambapo Lissu aliibua tifu upya, AG, akamkomalia kuwa mbona jana alikubali, mwisho KUB, Mhe. Freeman Mbowe alikubali kufunika kombe mwanaharamu apite kwa kukubali yaishe. Muswada ukapita!.
My Take!.
Muswada umepita!.
Kesho muswada huo unaletwa rasmi DSM na kulazwa ofisi ya bunge DSM. Jumatatu asubuhi, Katibu wa Bunge, Dr. Thomas Kashilila atabisha hodi Ikulu, na kuukabidhi rasmi.
JK atausani fasta fasta hata Jumatatu hiyo hiyo ili tangu J.4 uwe sheria.
Barua za mialiko kwa wadau kupendekeza majina ya wajumbe zitatolewa.
JK atateua wajumbe 14 kutoka bara na 14 kutoka Zanzibar pia atamteau M/Kiti na Katibu, jumla watakuwa 32.
Wataapishwa Ikulu.
Tarehe 01/03/2012 Tume ya Kukusanya Maoni Itaanza Kazi!.
Asanteni
Pasco.
Ule mjadala wa jana kuhusu marekebisho ya sheria ya marekebisho ya katiba, Yale Malumbano ya jana kuhusu matumizi ya ma DC au ma DED umemalizika rasmi!.
Makubaliano hayo yamewakubali wote wawepo, ma DED na ma DC wawepo, ila tume imepewa mandate ya kuwatumia yoyote kati ya hao pale itakapoona inafaa!.
Kuliibuka tena malumbano ambapo Lissu aliibua tifu upya, AG, akamkomalia kuwa mbona jana alikubali, mwisho KUB, Mhe. Freeman Mbowe alikubali kufunika kombe mwanaharamu apite kwa kukubali yaishe. Muswada ukapita!.
My Take!.
Muswada umepita!.
Kesho muswada huo unaletwa rasmi DSM na kulazwa ofisi ya bunge DSM. Jumatatu asubuhi, Katibu wa Bunge, Dr. Thomas Kashilila atabisha hodi Ikulu, na kuukabidhi rasmi.
JK atausani fasta fasta hata Jumatatu hiyo hiyo ili tangu J.4 uwe sheria.
Barua za mialiko kwa wadau kupendekeza majina ya wajumbe zitatolewa.
JK atateua wajumbe 14 kutoka bara na 14 kutoka Zanzibar pia atamteau M/Kiti na Katibu, jumla watakuwa 32.
Wataapishwa Ikulu.
Tarehe 01/03/2012 Tume ya Kukusanya Maoni Itaanza Kazi!.
Asanteni
Pasco.