J John W. Mlacha JF-Expert Member Oct 4, 2007 3,504 1,341 Apr 20, 2012 #1 Zitto Zuberi Kabwe ‏ @zittokabwe #Sahihi70 mpaka sasa tumepata sahihi 30 kutoka CDM, NCCR, CUF. Wabunge kadhaa wa CCM waliodhamiria wameitwa na Mnadhimu wa Serikali Lukuvi
Zitto Zuberi Kabwe ‏ @zittokabwe #Sahihi70 mpaka sasa tumepata sahihi 30 kutoka CDM, NCCR, CUF. Wabunge kadhaa wa CCM waliodhamiria wameitwa na Mnadhimu wa Serikali Lukuvi
C Capt Tamar JF-Expert Member Dec 15, 2011 11,738 14,637 Apr 20, 2012 #2 Tumeanza na Mungu tutushinda na Mungu
Manyanza JF-Expert Member Nov 4, 2010 9,485 14,353 Apr 20, 2012 #3 kwani hao wabunge wa CCM walipelekwa Bungeni na Lukuvi? mpaka wamsikilize?
MNYISANZU JF-Expert Member Oct 21, 2011 7,048 1,102 Apr 20, 2012 #4 Mods unganisha hii thread na ile nyingine...
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Apr 20, 2012 #7 kuna siku lukuvi atawashika m*t*k* ili wasinyang'anywe ubunge na watachekelea!
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Apr 20, 2012 #9 kaama sio leo hata kesho yu wapi makamba!??? kuzua mvua ni ngumu