jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
umekurupuka!!!!!!!!! hatuuoni moto wala zimamoto, bunge limeridhia 'kwa kupitia "kanuni" za bunge' serikali iendelee kuwaua kwa kuwanyima watanzania huduma za afya kwa kushindwa kutatua mgogoro wake na madaktari. nilitarajia wabunge watoke nje ya ukumbi kususia mjadala wowote ikiwa ni hatua ya kuungana na wananchi wanaowawakilisha.