Bungeni kumewaka moto-mgomo wa madaktari

Jamani kwanini Bunge lisimame wakati kamati yake ya huduma za jamii inalishughulikia suala hilo? Kwanini wabunge wasiwe na subra kusubiri majibu ya kamati?

Labda tujiulize wanataka kujadili nini kuhusu kadhia hiyo? au wanataka wavute muda na kuongeza posho.

Tafadhali wa Tz mnatakiwa kujua muda ni mali sana.

Nawapa pole wale wanaoshabikia issue hii ya mgomo.

Hakuna haja ya kuendelea kusubiri taarifa ya kamati kama inachelewa, na huku watu wengi wakiendelea kupoteza maisha.... La msingi ni kuangalia namna ya kutatua hilo tatizo kwa dharula wakati wakisubiri taarifa maalumu ya kamati. Hata hivyo kuna mambo yasiyohitaji kusubiri kamati kama suala la kujiuzuru Waziri, Naibu waziri, katibu mkuu na mganga mkuu wa serikali kupigwa chini. hayo yangeweza kufanyika sasa hivi, maana kila kitu kipo wazi namna walivyochangia kwa kiac kikubwa kuufikisha huo mgomo hapo ulipo.
 
Tunako elekea kubaya sana na imebaki miaka mitatu ya dhiki na tabu tuombe ndugu na jamaa wasiugue hatuna watetezi wa kweli ila tukiamua mimi na wewe tunaweza.
 
Kuna kitabu nilishawahi kukisoma najaribu kurelate na hali ya kwetu sasa kinaitwa HE CAME TO SET THE CAPTIVES FREE by Rebecca Brown. Huyu dada alikuwa anafanya Hospital moja marekani, kuna wagonjwa emergency walikuwa wakiletwa hapo Hospital lakini hakuna aliekuwa anawajali, akiuliza mbona huyu mtu analetwa halafu mnamuangalia tu wote wanatoka eneo hilo. Kumbe hawa Freemansoon ndio zilikuwa nyakati zao za kutoa kafara. Hii ni sawa na hapa kwetu ama viongozi wenyewe ndio ma freemansoon ndo wanatoa kafara zao kuimarisha ngome ama mafreemansoon wamewambia wafanye hivyo. Bila kanisa kusimama hapa kwa maombi hili tatizo litaisha mpaka wawe wametosheka kwa Kafara zao.

Very Terrible. Inakuwaje mkuu wa kaya amekaa kimya, aua anasubiri wawe wanakufa anaenda msibani. HIvi kwa nini, hili tatizo ni kubwa sana linahusu nchi wala Hajigusi, kwa nini??? Hivi sherehe za CCM Mwanza zilikuwa muhimu kuliko hili la sasa la Madoc.... Inauma sana. Ana siku chache sana pale magogoni. Kama wagonjwa wanataka waandamane kwenda kufia Ikulu, sijui anataka nini huyu bwana!!!!
We acha tu...sisi watanzania ni wapole sana...hawa viongozi tungeweza hata sisi wenyewe kuwasulubu wapate ili akili.
 
Wewe unataka subira ya nini wakati watu wanakufa?

Je unafahamu mamlaka ya Bunge?

Je Bunge linaweza kuwalipa Ma Dr Mishahara yao na stahiki zingine wanazodai?

Je wabunge hawaamini kamati yao ya huduma za jamii?

Kwanini wasiwe na subra kupata ukweli sahihi? kabla ya kutaka kukurupuka?

Fikirieni mipaka ya bunge kimamlaka kabla kujadili suala hili.

 
Imetosha kwa leo, naomba ukapumzike! ,..... maybe your brain will recover!




Hongera Spika.

Soni mantiki ya mwongozo huo. Kwani tayari kamati ya Bunge ya huduma za jamii inalishughulikia suala hilo. Sasa sijui wabunge hao hawaiamini kamati hiyo? au wanataka kuvuta muda zaidi ili kupata fedha za sitting allowance na per
diem
 
Hakuna haja ya kuendelea kusubiri taarifa ya kamati kama inachelewa, na huku watu wengi wakiendelea kupoteza maisha.... La msingi ni kuangalia namna ya kutatua hilo tatizo kwa dharula wakati wakisubiri taarifa maalumu ya kamati. Hata hivyo kuna mambo yasiyohitaji kusubiri kamati kama suala la kujiuzuru Waziri, Naibu waziri, katibu mkuu na mganga mkuu wa serikali kupigwa chini. hayo yangeweza kufanyika sasa hivi, maana kila kitu kipo wazi namna walivyochangia kwa kiac kikubwa kuufikisha huo mgomo hapo ulipo.

Sasa kama wanaona inachelewa. sasa wao wanaweza kufanya nini hapo?

Tupe mwongozo
.
 
Mkuu Pasco.

Umesahau zamu ya Wanawake lazima tuwavumilie bila kujali uwezo wake.
amewezeshwaa kaweza teh teh (siunajua kale kamsemo ka ukimuwezesha mmoja umeliwezesha taifa ndio anatumia kanafasi adimu alichokapata kuicontrol minjemba mjengoni teh teh) ila daah . this is more than retardation sijui tuiitaje hii . lakini hii accumalation ya mambo sijui kama ina mwisho mwema

PHP:
[QUOTE]TO HELL CCM AND YOUR GOVERNMENT [/QUOTE]
 
Hakuna haja ya kuendelea kusubiri taarifa ya kamati kama inachelewa, na huku watu wengi wakiendelea kupoteza maisha.... La msingi ni kuangalia namna ya kutatua hilo tatizo kwa dharula wakati wakisubiri taarifa maalumu ya kamati. Hata hivyo kuna mambo yasiyohitaji kusubiri kamati kama suala la kujiuzuru Waziri, Naibu waziri, katibu mkuu na mganga mkuu wa serikali kupigwa chini. hayo yangeweza kufanyika sasa hivi, maana kila kitu kipo wazi namna walivyochangia kwa kiac kikubwa kuufikisha huo mgomo hapo ulipo.
yeye makinda aliwekwa na watu hapo na anategemea akili za hao hao waliomuweka ambao mpaka sasa wameshindwa tayari kutatua hilo tatizo. Hili ni suala nyeti na la dharula na asifikiri ni ujinga uliozoeleka, watu wanakufa.
Hiyo position ni so challenging na kama hakulijua hilo basi ndio ajue maana sasa lawama zilizokuwa zinaelekezwa serikalini na sasa zinamuunganisha naye pia.

walaumiwe pia waliompitisha maana hakujichagua bali zilikuwa kura za wabunge wa ccm.

 
Kuna kitabu nilishawahi kukisoma najaribu kurelate na hali ya kwetu sasa kinaitwa HE CAME TO SET THE CAPTIVES FREE by Rebecca Brown. Huyu dada alikuwa anafanya Hospital moja marekani, kuna wagonjwa emergency walikuwa wakiletwa hapo Hospital lakini hakuna aliekuwa anawajali, akiuliza mbona huyu mtu analetwa halafu mnamuangalia tu wote wanatoka eneo hilo. Kumbe hawa Freemansoon ndio zilikuwa nyakati zao za kutoa kafara. Hii ni sawa na hapa kwetu ama viongozi wenyewe ndio ma freemansoon ndo wanatoa kafara zao kuimarisha ngome ama mafreemansoon wamewambia wafanye hivyo. Bila kanisa kusimama hapa kwa maombi hili tatizo litaisha mpaka wawe wametosheka kwa Kafara zao.

Very Terrible. Inakuwaje mkuu wa kaya amekaa kimya, aua anasubiri wawe wanakufa anaenda msibani. HIvi kwa nini, hili tatizo ni kubwa sana linahusu nchi wala Hajigusi, kwa nini??? Hivi sherehe za CCM Mwanza zilikuwa muhimu kuliko hili la sasa la Madoc.... Inauma sana. Ana siku chache sana pale magogoni. Kama wagonjwa wanataka waandamane kwenda kufia Ikulu, sijui anataka nini huyu bwana!!!!

Ningekuwa Freemason ningewatoa kafara kuanzia kiranja wao na wenzake wote wanaopuuzia tatizo hili. But on a second thought, kafara yangu isingefaa maana kafara hutolewa kwa kutumia watu/vitu vyenye thamani sio watu useless kama hawa!
 
Makinda hajaruhu mpaka kamati yake irudi na majibu....naona anatumia ubabe zaidi badala ya busara

Hakuna cha kushangaa. kwani ni kama kawaida yake kutumia ubabe hata akiingia KAnisani atataka kutumia ubabe ili Mungu amsikilize na kufuata anayotaka yeye.

"MUYAONE WOTE MLIOPIGA VIGELEGELE SIKU ALIPOCHAGULIWA KUWA SPIKA"

MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Back
Top Bottom