Bungeni kuhusu Operation Tokomeza ujangili taarifa ya kamati

DAVIES

JF-Expert Member
Nov 21, 2011
514
90
Mh. Lema anatoa hoja nzito bungeni sasa huku akisikitishwa na mambo
****usalama wa taifa chini ya mh mkuchika wanafanya nini hawana taarifa juu ya haya manyanyaso? Zaidi ya kuzuia maandamano ya chadema?
****kagasheki anafanya nini hapa la kukwepa katika shutuma hizi
*****Anamtetea mathayo David kwamba yeye pia mifugo imeuawa kwanini aamrishwe kujitazama upya
*****anawataja mawaziri wanaotakiwa kuachia ni pamoja na
---mkuchika(kwa mkazo)
---nchimbi ang'oke
---vuai shamsi atoke
---kagasheki ajinasue
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom