Bungeni: Kamati ya Bunge yazitaja sababu zinazopaisha bei ya mafuta

“Hatua hii itaifanya nchi yetu kuwa ‘hub’ ya biashara ya mafuta kwa nchi zinazotuzunguka na vilevile itawezesha nchi kuagiza mafuta mengi zaidi wakati bei ya mafuta imeshuka katika soko la dunia,” amesema.

Amesema kwa kipindi cha mpito wakati Serikali ikijapanga kujenga sehemu moja ya kupokelea shehena ya mafuta, ghala la kuhifadhi mafuta la TIPER lianze kutumika ili kuondoa tatizo la meli kusubiri kwa muda mrefu kuingia bandarini na kupunguza gharama za ucheleweshaji wa meli.
Hivi yule aliyetoboa bomba la mafuta na kujipimia kwenye vidumu aliishia wapi
 
Ufuatao ni mchanganuo wa bei ya mafuta Tanzania kwa kila lita moja ni kama ifuatavyo:

View attachment 2122054

Hii inaonesha kuwa zaidi ya nusu ya bei ya mafuta kwa kila lita ni KODI..
Hata wauzaji wa vituo vya mafuta faida yao ni kidogo mno around Tsh 100 per litre.
naomba ufafanuzi kwa
  • Namba 2
  • Namba 7
  • Namba 10
  • Namba 12
  • Namba 16
  • Namba 17
  • namba 18
  • Namba 21
Tofauti kati ya 18 na 21
Tofauti kati ya 19 na 23
 
Hahaha yani katika sababu zote za kupanda bidhaa hakuna sababu ya tozo ambayo iko wazi kabisa haha
Hii kamati imejaa uongo sana aiseee
 
Hakuna sababu ya msingi hata moja, sababu ni wingi wa kodi na tozo
Wasitufanye sisi ni wajinga ,bei ya mafuta mpaka kufika bandari ya Dar ni. Shs 1,162.kifuatacho ni kujaza tozo na kodi mpaka kufikia hio 2,500+

Hizo sababu ni za kipuuzi tu ambazo hata athari yake sio kubwa.

Futa tozo na kodi zisizo na maana
JamiiForums46034419.jpg
 
Back
Top Bottom