sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,283
- 976
Amesema ni dharau na aibu kubwa kwa serikali kumlea mbadhirifu wa fedha za umma katika halmashauri badala ya kumfuta kazi na kumshtaki, anahamishiwa halmashauri nyingine. Pia anashangaa vitabu vya mapato zaidi ya 600 ktk halmashauri mbalimbali havionekani na hakuna aliyewajibishwa.