beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Fedha na Mipango, Mwigulu Nchemba amesema licha ya kutekeleza majukumu, Wizara hiyo imekumbwa na changamoto mbalimbali
Akiwa Bungeni, ametaja baadhi kuwa ni ugumu wa kutoa viwango stahiki vya fidia kwa waaathirika wa ajali za mali za Serikali kutokana na kukosekana #Sheria/Mwongozo wa viwango
Changamoto nyingine ni baadhi ya maeneo kutofikiwa na huduma za Mtandao ambazo ni kiungo kikuu cha matumizi ya mifumo ya kielektroniki ya usimamizi wa Mapato na Matumizi. Pia, kuongozeka vihatarishi vya kudukuliwa mifumo ya kifedha na watu wenye nia ovu.
Akiwa Bungeni, ametaja baadhi kuwa ni ugumu wa kutoa viwango stahiki vya fidia kwa waaathirika wa ajali za mali za Serikali kutokana na kukosekana #Sheria/Mwongozo wa viwango
Changamoto nyingine ni baadhi ya maeneo kutofikiwa na huduma za Mtandao ambazo ni kiungo kikuu cha matumizi ya mifumo ya kielektroniki ya usimamizi wa Mapato na Matumizi. Pia, kuongozeka vihatarishi vya kudukuliwa mifumo ya kifedha na watu wenye nia ovu.