Bungeni Dodoma: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akosa Mbunge wa kumuuliza swali la papo hapo

Hakuna wabunge hapo, ni wateule wa mwendazake....kinachosubiriwa hapo ni posho ili bata ziendelee kwenye vijiwe vya starehe hapo idodomya..
 
Hao ni wateule wanachakata posho tu ambazo ni jasho la wanyonge.
 
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.

Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.

Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za kikao na usishangae kesho wakasema siku za kikao cha bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.

Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama vipi warudi majimboni.
Naomba nikukumbushe hao wabunge hawakupigiwa kura walipitishwa kwa nguvu ya chama.

Sasa itakuwa unafiki sana kama tutajisahaulisha kuwa hapo hakuna wawakilishi wa wananchi kwa idadi kubwa ni wachumia tumbo ambao tayari wameshapata wanachotaka nayo ni mishahara, mavx na posho nene. Sasa sidhani kama kuna mwananchi aliwatuma hapo.

So kwasasa hatuna budi bali kutazama hadi wamalize muda wao.... And then..... Maybe then tutakuwa serious kuchagua viongozi wa kueleweka.....
 
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.

Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.

Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za kikao na usishangae kesho wakasema siku za kikao cha bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.

Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama vipi warudi majimboni.
Mkuu usisahau kuwa hili bunge la safari hii ni "mhuri" kwa maana takriban 80+ waliingia kwa hisani ya "mwendazake" binafsi sitarajii waliotolewa majalalani kuchangia kwa mustakabali wa Taifa.
 
Hayo ni matumizi mabaya ya rasilimalinafasi

Halafu kuna mmoja nimemsikia akihojiwa eti akasema "tutamuuliza hata alhamis ijayo..." kasahau kwamba golden chance never comes twice hivyo time time before the time times you

Narabuk
 
Back
Top Bottom