Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,503
- 12,166
Nadhani angekuwepo angefurahi Sana kuona hakuna swali kwa serikali
Nadhani angekuwepo angefurahi Sana kuona hakuna swali kwa serikali
Mizengo pinda nilikua na mkubaliNaibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.
Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.
Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za vikao na usishangae kesho wakasema siku za vikao vya bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.
Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama vipi warudi majimboni.
1.HII NDIO DALILI KUWA HATA SUALA LA KUONGEZA MUHULA WA UONGOZI,AGENDA INGELETWA WASINGEKUWA NA SWALI LA KUULIZA WALA KUPINGA HOJA,HATA KAMA KATIBA INGEKUWA INAVUNJWA.Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.
Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.
Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za vikao na usishangae kesho wakasema siku za vikao vya bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.
Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama vipi warudi majimboni.
Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.
Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.
Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za vikao na usishangae kesho wakasema siku za vikao vya bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.
Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama vipi warudi majimboni.
Huyu dada ni mjinga Sana badala ya kusema waziri mkuu hayupo , kaenda kwenye kampeni muhambwe kigoma ndio akaona adanganye kitoto hivyo ? PhD feki ndio hizi sasa .Naibu Spika, Dkt. Tulia Ackson amesema, leo kulikuwa na kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, lakini hakuna mbunge hata mmoja aliyejiandikisha kwa ajili ya kumuuliza Waziri Mkuu.
Nchi yetu ina matatizo mengi kuanzia elimu, afya, maji, haki za binadamu, ajira nk. Haiwezekani wawakilishi wote wakose hata kitu kimoja cha kuihoji serikali.
Kama taifa tuna hasara kubwa lkn wabunge wataendelea kunufaika na posho za vikao na usishangae kesho wakasema siku za vikao vya bunge hazitoshi na posho iongezwe wakati hawana hata swali moja la kuihoji serikali, haya ni matumizi mabaya ya pesa ya mlipa kodi.
Kama wameishiwa maswali tusisikie wanataka muda wa bunge uongezwe kama vipi warudi majimboni.
Ndugai na Tulia ni masalia ya mwendazake.Huyu dada ni mjinga Sana badala ya kusema waziri mkuu hayupo , kaenda kwenye kampeni muhambwe kigoma ndio akaona adanganye kitoto hivyo ? PhD feki ndio hizi sasa .
Hapo kuna option 3,Hii imenikumbusha wakati nasoma shule darasa letu lilikuwa tumetengwa wanafunzi
Maalum,watundu,watukutu
Kila mwalimu akifundisha akimaliza akiuliza
Kuna mwanafunzi mwenye swali"watu kimyaaa "
Ova
Kweli Bora lisiwepo kuliko wabunge ambao hawana la kusema.Kuna mtu alihoji hivi hatuwezi kuiishi bila bunge hadi tutakapojitambua?
Basi warudi nyumbani.Kwani lazima kuuliza maswali?
Kama hakuna maswali basi, sasa wafanyeje?