Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,496
- 215,349
Ndio tayari wamejadili na kutoa mwongozo .Huo muda wa kulijadili si bora wajadili mambo mengine yenye tija na ufanisi katika nchi yetu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tayari wamejadili na kutoa mwongozo .Huo muda wa kulijadili si bora wajadili mambo mengine yenye tija na ufanisi katika nchi yetu
naunga mguu hoja hapaHuo muda wa kulijadili si bora wajadili mambo mengine yenye tija na ufanisi katika nchi yetu
Kwa kadiri ya kumbukumbu zangu Ndugai aweza kuwa ndio spika mbovu zaidi duniani kwa sasa .Ndio maana Lema kamponda Spika kupitia twitter kuhusu hii issue.
Mmmmh ushabiki mwingine?Kweli hasa kucha unaweza kushikwa na hasira za kisiasa ukamng'oa mbunge mwenzako macho hivihivi.
Mmmmh ushabiki mwingine?
Hmm!...#Job Ndugai"marufuku kuingia na kope bandia bungeni"
Sio tetesi tena hii ni habari.#Job Ndugai"marufuku kuingia na kope bandia bungeni"
Nani atakuwa anakagua pale mlangoni?#Job Ndugai"marufuku kuingia na kope bandia bungeni"
Ni dhahiri pasi na shaka kwamba tumeshapoteza muelekeo kama taifa, wenzetu walioendele siku nyingi wanaweza kutushangaa sana wakisikia Bunge letu linajadili nonsense issues kama hizi, nina wasiwasi Spika atakuwa amewalenga wabunge fulani wa upinzani hapo, tumekalia mambo ya hovyo hovyo tu, Je swala hilo linaweza kuleta mkate mezani ?, Je mbunge akiwa na kope bandia haweza kutoa hoja ya tanzania ya viwanda ?.Hizo kucha bandia na kote.. zina uhusiano gani na wao kuingia bungeni na kuketi tu?..duh
Pia kama amepata malalamiko.. ni juu ya nini haswa na kivipi zinasumbua wengine au yeye?