Bungeni Dodoma: Shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa CHADEMA mwalimu Kasuku Samson Bilago

Nakumbuka kauli yake kubwa aliyokuwa anatutetea wafanyakazi, hasa kuhusu annual increment ambapo sauti yake haikusikika kwa waliokusudiwa mpaka leo mungu amemchukua. RIP mwalimu Bilago
 
Imekuwa kama tamaduni sasa kwa hivi vyama viwili kila linapotokea jambo lazima warushiane maneno na kila mmoja kumlaumu mwingine.

Ni matukio mengi tu yametokea hapa nchini na upande mmoja kumlaumu mwingine kwa maana kila jambo kulihusisha na mambo ya kisiasa yaani watoto wa mjini wanasema kutafuta kiki.

Sasa itafika mahali tunaweza kuona kama kuna jambo lilijificha ya hawa wawili katika matukio yanapotokea na kiasi cha kuanza kupoteza yale mashiko ya kiasiasa.

Nadhani ni muhimu sana kwa waliopo ndani ya vyama hivi kuhakikisha wana control ndimi zao pale linapotokea jambo lolote lile la kitaifa kwasababu ndiyo utamaduni tulioachiwa na waasisi wa nchi kujenga umoja na upendo miongoni mwa wananchi.
 
Imekuwa kama tamaduni sasa kwa hivi vyama viwili kila linapotokea jambo lazima warushiane maneno na kila mmoja kumlaumu mwingine.

Ni matukio mengi tu yametokea hapa nchini na upande mmoja kumlaumu mwingine kwa maana kila jambo kulihusisha na mambo ya kisiasa yaani watoto wa mjini wanasema kutafuta kiki.

Sasa itafika mahali tunaweza kuona kama kuna jambo lilijificha ya hawa wawili katika matukio yanapotokea na kiasi cha kuanza kupoteza yale mashiko ya kiasiasa.

Nadhani ni muhimu sana kwa waliopo ndani ya vyama hivi kuhakikisha wana control ndimi zao pale linapotokea jambo lolote lile la kitaifa kwasababu ndiyo utamaduni tulioachiwa na waasisi wa nchi kujenga umoja na upendo miongoni mwa wananchi.
Nani amekudanganya???
 
Spika ndugai ni mpotoshaji mkubwa hakuna mahala MHE.Mbowe wala chadema wamelalamikia huduma alizopewa marehemu bali wamelalamikia Bunge kupanga ratiba ya msiba BILA ya kushirikisha familia ya marehemu wala chama chake.
Ila Bunge limesema muda wote lilikuwa na Familia... jamani hata chama huwa kinafuata maelekezo ya familia at the end of the day.
 
Chanzo ni kulaumiana msiban kuwa bunge halijamuhudumia marehemu
Kumbe wote walishindwa kujipanga chama na bunge, bila chama hamna mbunge na bila bunge hamna mbunge vyote vinategemeana ilitakiwa wasiliano yawepo baina ya pande zote mbili tusingeona huo mvutano.
 
Kumbe wote walishindwa kujipanga chama na bunge, bila chama hamna mbunge na bila bunge hamna mbunge vyote vinategemeana ilitakiwa wasiliano yawepo baina ya pande zote mbili tusingeona huo mvutano.
Tatizo Mbowe anajaribu kukwepa sehemu ya wajibu wake!
 
Jibu ushapata
Dr Tulia ameelezea namna bunge lilivyomhudumia marehemu na kwamba pale Muhimbili walikuwepo wanafamilia pekee wakimuuguza, Mbowe alipaswa kutueleza Chadema kama chama walimuhudumiaje mwalimu. Pale Aga Khan Nairobi viongozi walipeana zamu kumhudumia Lisu au wabunge wa Chadema wana madaraja?!
 
Dr Tulia ameelezea namna bunge lilivyomhudumia marehemu na kwamba pale Muhimbili walikuwepo wanafamilia pekee wakimuuguza, Mbowe alipaswa kutueleza Chadema kama chama walimuhudumiaje mwalimu. Pale Aga Khan Nairobi viongozi walipeana zamu kumhudumia Lisu au wabunge wa Chadema wana madaraja?!
Nafikir kila kitu kipo wazi mkuu sion point hapo tufunge huu mjadala communicaton ni kitu kizur zaidi kwa sasa tuneingiwa na mdudu uchama huwezi kumshirikisha mwenzio kwa kuwa unamilik kitu fulani.
 
Msiba umupoa kisa siyo Masawe, Mushi, Laiza, Mollel, Lema, Mbowe, Mboro, Kimaro, Assenga, Kimario, Mlay, Mlaki, mbelesero, Mtei, Ngowi,
 
Back
Top Bottom