mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,188
- 6,011
Marehemu aachwe apumzikeViwanda vipya 8477 vinaendeleaje kwa sasa? Mzee alikua na fix yule
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Marehemu aachwe apumzikeViwanda vipya 8477 vinaendeleaje kwa sasa? Mzee alikua na fix yule
Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
Jiwe alikuwa muongo na mwizi hajawahi toka nchi hiiUongo mtupu!
Sasa kwa nini leo kuna mamilioni ya vijana wasio na ajira wala kipato?
Hivyo viwanda ilikuwa propaganda za kitoto za miaka ya 60.
Ilikuwa propaganda propaganda propaganda tu.
Motoni kuna mapumziko?Marehemu aachwe apumzike
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Katika viwanda, tumejenga viwanda vipya 8,477 vikiwemo Viwanda vikubwa 201, vya Kati 460, Vidogo 3,406 na vidogo sana ni 4,410 - Hii imeongeza idadi ya viwanda nchini kutoka 52,633 kwa mwaka 2015 hadi viwanda 61,110 katika mwaka 2020