Bungeni Dodoma: Rais Magufuli avunja Bunge la 11. Asema ajira 6,032,299 zimetengenezwa, Viwanda vipya 8,477 vimeanzishwa

Katika viwanda, tumejenga viwanda vipya 8,477 vikiwemo Viwanda vikubwa 201, vya Kati 460, Vidogo 3,406 na vidogo sana ni 4,410 - Hii imeongeza idadi ya viwanda nchini kutoka 52,633 kwa mwaka 2015 hadi viwanda 61,110 katika mwaka 2020
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom