Autodidacts
JF-Expert Member
- Jun 9, 2021
- 1,165
- 1,803
Sio bure uenda ana taarifa za uhakika walichokipanga juu yake,Msisahau ya Kolimba,CCM wana criminal history ya uuaji for a longtime now.Baada ya kuingia kwenye kamati ya Haki Maadili Na Madaraka ya Bunge Gwajima amegoma kukaa kwenye kiti alichoandaliwa na kukisogeza pembeni.
Alipoulizwa na mwenyekiti Emanuel Mwakasaka kwanini hataki kukukaa alisema leo atasimama kwakuwa amezoea kusimama mara nyingi.
View attachment 1907812
View attachment 1907814