Chatumkali
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 2,037
- 458
Ndio wawakilishi wetu hao.
ndugu kumsifu Rais yakuwashia nini fuatilia hoja zao ni chama tawala ulitaka wasimsifu hata ingekuwa chadema ndio imeshika dola na DR Slaa ndiye Rais wetu angesifiwa na wabunge wa chadema mbona hili ni jambo la kawaida katika mfumo wa siasa za vyama vingi