huyu na kundi lake si ndio wale wanaotimuliwa ccm, bora wewe sita hujasema.Naona anaongea tuuuu na kumfanya Nyerere kama Mungu aliyekuwa Tanzania na ambaye hakuwa na neno au baya lolote kwa Taifa hili.
Anatumia kigezo gani kumsafisha Nyerere milelle kwamba hakuwa na baya lolote ndani ya utawala wake kwa taifa la Tanzania???
Nahisi kukereka na hili Gamba Pevu kwa porojo zisizo na mwelekeo.
Nawakilisha