wa ukae
JF-Expert Member
- Aug 11, 2008
- 2,649
- 2,008
Ndugu Slip hapo umelaumu tu bila kutoa ushauli kwa maoni yako ungependekeza vyanzo vipi vya mapato viongezeke na ungependa mbinu gani mbadala itumike ili kufikia malengo katika ukusanyaji wa kodi?Msitegemee jipya zaidi ya kodi za kukamuana na kuongeza ukubwa wa budget(makadirio), budget ambazo kila mwaka hawafikii malengo kwenye makusanyo.
Hawabuni wala hawatengenezi vyanzo vipya zaidi ya kucheza na vyanzo vile vile miaka yote( pombe, kodi za bandarimi, n.k).
Ubunifu wa miradi mipya hauendani na ongezeko la vyanzo vya mapato matokeo yake budget hazitekelezeki.
CCM imefeli sana katika swala zima la ubunifu wa vyanzo vya mapato.
Safari hii covid ndio itakuwa wimbo kwenye hii budget na kulalamika wahisani kutotekeleza ahadi zao.