beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Bunge limesema taratibu za Uchaguzi wa kujaza nafasi ya Spika iliyo wazi baada ya Job Ndugai kujiuzulu zinaendelea
Kamati zilizokuwa zikutane kuanzia Januari 10 pamoja na zile zilizotakiwa kukutana kuanzia Januari 17, 2022 hazitakutana wakati huo
Badala yake zitakutana wakati wa Mkutano wa Sita wa Bunge (1 - 11 Februari, 2022) hivyo Wabunge wametakiwa kufika Dodoma 31 Januari, 2022
Kamati zilizokuwa zikutane kuanzia Januari 10 pamoja na zile zilizotakiwa kukutana kuanzia Januari 17, 2022 hazitakutana wakati huo
Badala yake zitakutana wakati wa Mkutano wa Sita wa Bunge (1 - 11 Februari, 2022) hivyo Wabunge wametakiwa kufika Dodoma 31 Januari, 2022